Habari

Vyanzo vya kuaminika

Habari ziko kila mahali. Huwa unapata zako wapi?

Tulifanya utafiti miongoni mwa watu wenye umri wa miaka 15-24 na 40+ katika nchi 21 ili kuchunguza jinsi utoto unavyobadilika.

Soma zaidi kuhusu utafiti
Chanzo chako cha kuaminika cha taarifa na habari ni kipi?

Mara nyingi mimi hutumia:

Jibu swali lililo hapa juu ili kujifunza zadi kuhusu hali inayobadilika ya utoto.

Rudi kwenye swali
% ambao hutumia vyanzo vya kidijitali
Watu wenye umri wa miaka 15-24
69%

Kwa wastani, 69% kati ya Watu wenye umri wa miaka 15-24 hutumia vyanzo vya kidijitali…

…ikilinganishwa na 32% kati ya watu wenye umri wa miaka 40+

% ambao hutumia vyanzo tofauti ili kupata habari
69%
25%
vyanzo vya kidijitalivyanzo vya zamani

Kuna tofauti kubwa katika matumizi yavyanzo vya kidijitali na vyanzo vya zamani kati ya vizazi vichanga na vyenye umri mkubwa.

idadi kubwa ya Watu wenye umri wa miaka 15-24 hutumia vyanzo vya kidijitaliidadi kubwa ya watu wenye umri wa miaka 40+ hutumia vyanzo vya kidijitali

Hilo ni kweli katika kila mahali tulikotafiti, katika nchi za maeneo yote na viwango vyote vya mapato.

Ingawa mkondo huu ni sawa kila mahali, pengo la vizazi ni pana zaidi katika baadhi ya nchi kama vile Ufaransa…

Ujerumani…

…na Brazili.

Pengo ni finyu zaidi katika nchi kama vile Zimbabwe…

Kameruni…

…na India.

Unafikiri kutegemea kwa vijana kwa vyanzo vya kidijitali vya habari huathiri uzoefu wao na misimamo vipi?

Shiriki hadithi hii

Jifunze zaidi kuhusu kipengele hiki cha jinsi utoto unavyobadilika

HabariJe, kusogeza ni kuamini?